Mipangilio
Kwa Lugha The Calamity [Al-Qaria]
ٱلۡقَارِعَةُ ﴿1﴾
Inayo gonga!
مَا ٱلۡقَارِعَةُ ﴿2﴾
Nini Inayo gonga?
وَمَاۤ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ ﴿3﴾
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
یَوۡمَ یَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ ﴿4﴾
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ ﴿5﴾
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَ ٰزِینُهُۥ ﴿6﴾
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِی عِیشَةࣲ رَّاضِیَةࣲ ﴿7﴾
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَ ٰزِینُهُۥ ﴿8﴾
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُۥ هَاوِیَةࣱ ﴿9﴾
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
وَمَاۤ أَدۡرَىٰكَ مَا هِیَهۡ ﴿10﴾
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
نَارٌ حَامِیَةُۢ ﴿11﴾
Ni Moto mkali!
English
Chinese
Spanish
Portuguese
Russian
Japanese
French
German
Italian
Hindi
Korean
Indonesian
Bengali
Albanian
Bosnian
Dutch
Malayalam
Romanian