Mipangilio
Kwa Lugha The Traducer [Al-Humaza]
وَیۡلࣱ لِّكُلِّ هُمَزَةࣲ لُّمَزَةٍ ﴿1﴾
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ٱلَّذِی جَمَعَ مَالࣰا وَعَدَّدَهُۥ ﴿2﴾
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
یَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥۤ أَخۡلَدَهُۥ ﴿3﴾
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
كَلَّاۖ لَیُنۢبَذَنَّ فِی ٱلۡحُطَمَةِ ﴿4﴾
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
وَمَاۤ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ ﴿5﴾
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ ﴿6﴾
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ٱلَّتِی تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ ﴿7﴾
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَیۡهِم مُّؤۡصَدَةࣱ ﴿8﴾
Hakika huo utafungiwa nao
فِی عَمَدࣲ مُّمَدَّدَةِۭ ﴿9﴾
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
English
Chinese
Spanish
Portuguese
Russian
Japanese
French
German
Italian
Hindi
Korean
Indonesian
Bengali
Albanian
Bosnian
Dutch
Malayalam
Romanian