Mipangilio
Kwa Lugha The Elephant [Al-fil]
Sura , Ina Aya , mahali iliposhuka , na mpangilio wake katika Msahafu
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ ﴿1﴾
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍۢ ﴿2﴾
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ ﴿3﴾
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍۢ مِّن سِجِّيلٍۢ ﴿4﴾
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍۢ مَّأْكُولٍۭ ﴿5﴾
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!