Mipangilio
Kwa Lugha Quraish [Quraish]
Sura , Ina Aya , mahali iliposhuka , na mpangilio wake katika Msahafu
لِإِیلَـٰفِ قُرَیۡشٍ ﴿1﴾
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
إِۦلَـٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَاۤءِ وَٱلصَّیۡفِ ﴿2﴾
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
فَلۡیَعۡبُدُوا۟ رَبَّ هَـٰذَا ٱلۡبَیۡتِ ﴿3﴾
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
ٱلَّذِیۤ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعࣲ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ ﴿4﴾
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
English
Chinese
Spanish
Portuguese
Russian
Japanese
French
German
Italian
Hindi
Korean
Indonesian
Bengali
Albanian
Bosnian
Dutch
Malayalam
Romanian