Mipangilio
Kwa Lugha Quraish [Quraish]
Sura , Ina Aya , mahali iliposhuka , na mpangilio wake katika Msahafu
لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ ﴿1﴾
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ ﴿2﴾
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ ﴿3﴾
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍۢ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ ﴿4﴾
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.