Mipangilio
Kwa Lugha Alms Giving [Al-Maun]
Sura , Ina Aya , mahali iliposhuka , na mpangilio wake katika Msahafu
أَرَءَيْتَ ٱلَّذِى يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ ﴿1﴾
Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِى يَدُعُّ ٱلْيَتِيمَ ﴿2﴾
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلْمِسْكِينِ ﴿3﴾
Wala hahimizi kumlisha masikini.
فَوَيْلٌۭ لِّلْمُصَلِّينَ ﴿4﴾
Basi, ole wao wanao sali,
ٱلَّذِينَ هُمْ عَن صَلَاتِهِمْ سَاهُونَ ﴿5﴾
Ambao wanapuuza Sala zao;
ٱلَّذِينَ هُمْ يُرَآءُونَ ﴿6﴾
Ambao wanajionyesha,
وَيَمْنَعُونَ ٱلْمَاعُونَ ﴿7﴾
Nao huku wanazuia msaada.