Mipangilio
Kwa Lugha The day break [Al-Falaq]
Sura , Ina Aya , mahali iliposhuka , na mpangilio wake katika Msahafu
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ ﴿1﴾
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ ﴿2﴾
Na shari ya alivyo viumba,
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ ﴿3﴾
Na shari ya giza la usiku liingiapo,
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ ﴿4﴾
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ ﴿5﴾
Na shari ya hasidi anapo husudu.