Kurasa kuu ya Tovuti

Kwa Lugha The mankind [An-Nas]

Sura , Ina Aya , mahali iliposhuka , na mpangilio wake katika Msahafu

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ ﴿1﴾

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

مَلِكِ ٱلنَّاسِ ﴿2﴾

Mfalme wa wanaadamu,

إِلَـٰهِ ٱلنَّاسِ ﴿3﴾

Mungu wa wanaadamu,

مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ ﴿4﴾

Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

ٱلَّذِی یُوَسۡوِسُ فِی صُدُورِ ٱلنَّاسِ ﴿5﴾

Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ ﴿6﴾

Kutokana na majini na wanaadamu.