Mipangilio
Kwa Lugha The Fig [At-Tin]
وَٱلتِّینِ وَٱلزَّیۡتُونِ ﴿1﴾
Naapa kwa tini na zaituni!
وَطُورِ سِینِینَ ﴿2﴾
Na kwa Mlima wa Sinai!
وَهَـٰذَا ٱلۡبَلَدِ ٱلۡأَمِینِ ﴿3﴾
Na kwa mji huu wenye amani!
لَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَـٰنَ فِیۤ أَحۡسَنِ تَقۡوِیمࣲ ﴿4﴾
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
ثُمَّ رَدَدۡنَـٰهُ أَسۡفَلَ سَـٰفِلِینَ ﴿5﴾
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
إِلَّا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ فَلَهُمۡ أَجۡرٌ غَیۡرُ مَمۡنُونࣲ ﴿6﴾
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
فَمَا یُكَذِّبُكَ بَعۡدُ بِٱلدِّینِ ﴿7﴾
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
أَلَیۡسَ ٱللَّهُ بِأَحۡكَمِ ٱلۡحَـٰكِمِینَ ﴿8﴾
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
English
Chinese
Spanish
Portuguese
Russian
Japanese
French
German
Italian
Hindi
Korean
Indonesian
Bengali
Albanian
Bosnian
Dutch
Malayalam
Romanian